Saturday, November 28, 2015

Is the Embu County Assembly a S3X den? See what male/female MCAs do in the chambers

Friday November 27, 2015 - Embu County Speaker, Kariuki Mate, has banned Members of the County Assembly from wearing tight and revealing clothes while in the chambers.

This is after it emerged that MCAs are aroused by their colleagues who wear tight pants when they come to the Assembly.

Mr. Mate expressed concern that male MCAs were increasingly dressing in shirts that exposed their “biceps and triceps” which they unbutton to expose their chests.

On the other hand, he accused female MCAs of dressing in “miniskirts and bare-back sleeveless tops” that also have low-cut front ends which expose their cleavages and parts of their breasts.


The matter was kicked off by Kithimu MCA, Michael Njeru, who complained of the dress code by some MCAs, saying they were getting distracted from legislative business by their colleagues who dress in outfits that arouse romantic fantasies.

The Speaker also noted that most male MCAs remove their ties and hang them at the assembly door immediately after sittings are concluded, only to pick them up the next sitting day.

Thursday, November 26, 2015

Mchakato mahakama ya mafisadi waanza




Jaji Kiongozi, Shaban Lila
Jaji Kiongozi, Shaban Lila  

By Nuzulack Dausen, Mwananchi
Dar es Salaam. Utekelezaji wa ahadi za Rais John Magufuli unazidi kushika kasi baada ya kuanza kwa mchakato wa kuanzisha mahakama maalumu ya kuwashughulikia mafisadi.
Jaji Kiongozi, Shaban Lila alisema jana kuwa tayari wadau mbalimbali wa haki jinai wameanza kukutana kuangalia namna ya kuanzisha mahakama hiyo kama sehemu ya utekejezaji wa ahadi ya Rais.
Akizungumza katika hafla ya kuhitimisha mafunzo ya kushughulikia mashauri nyeti ya jinai kwa majaji 12 wa Mahakama Kuu ya Tanzania, alisema juzi walikuwa na mazungumzo na Wizara ya Katiba na Sheria kuangalia mfumo wa uendeshaji wa mahakama hiyo.
“Tunaangalia tuianzishe kama mahakama huru au ifanywe ndani ya muundo wetu wa mahakama kwa kuipa kipaumbele maalumu. Lakini tunafikiria zaidi kama ingekuwa ni kitengo maalumu ndani ya Mahakama Kuu kitakachokuwa kikishughulikia mafisadi,” alisema Jaji Lila.
Hata hivyo, Jaji Lila hakutaja muda maalumu utakaotumika kumaliza mchakato wa kuanzisha mahakama hiyo, huku akisema unahusisha wadau wengi na unyeti wake unahitaji maandalizi makubwa.
Jaji huyo bila kutaja takwimu, alieleza kuwa kesi za makosa makubwa ya jinai zinaongezeka nchini ukilinganisha na miaka ya nyuma hasa zile zinazohusu utakatishaji fedha, ugaidi, usafirishaji wa dawa za kulevya, usafirishaji wa nyara za Serikali hasa wanyama hai na mazao yake na ufisadi.
Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Melrose alimpongeza Rais Magufuli kwa kuonyesha msimamo wa kupambana na makosa ya jinai yakiwamo ya dawa ya kulevya, usafirishaji wa nyara za Serikali na utakatishaji fedha.
“Nilikuwa nimeketi bungeni namsikiliza Rais siku alipokuwa akilihutubia Bunge, japo hotuba yake ilikuwa kwa Kiswahili lakini nilipata faraja kubwa nilipomuona akiwa mkali katika masuala hayo,” alisema Balozi Melrose.

Kigogo Kenya matatani kwa kumfuata Magufuli Dar




Rais John Magufuli.
Rais John Magufuli.  

By Mwandishi Wetu, Mwananchi
Nairobi. Gavana wa Jimbo la Siaya, nchini Kenya, Cornel Rasanga ameingia matatani akidaiwa kutumia Sh20 milioni za nchi hiyo (karibu Sh400 milioni) kutoka katika mfuko za Serikali kwa ajili safari ya kuhudhuria sherehe za kumwapisha Rais John Magufuli.
Dk Magufuli alipishwa Novemba 5, kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 25.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali Kenya (PAC), Nicholas Gumbo amemtuhumu Rasanga kwa kutumia fedha hizo kutoka kwenye mfuko wa Serikali wa safari.
“Gavana wa Rasanga lazima awaambie wananchi wa Siaya, imekuwaje akatumia Sh20 milioni kwenda Tanzania kwa ajili ya shughuli ya Dk Magufuli?
“Sidhani kama Dk Magufuli ana uhusiano wowote na wananchi wa Kaunti ya Siaya kiasi cha Gavana kutumia fedha hizo za umma kwenda Tanzania,” alisema Gumbo.
Gumbo alisema Dk Magufuli anafahamika kuwa ni rafiki mkubwa wa kiongozi wa Cord, Raila Odinga ambaye pia alihudhuria sherehe hizo.
Sherehe hizo pia zilihudhuriwa na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na viongozi wengine wa Afrika.
Akizungumzia tuhuma hizo, Rasanga alisema madai yalitolewa na Gumbo ambaye ni Mbunge wa Rarieda, ni uzushi na alikuwa anataka kujikweza kisiasa.
“Hii ilikuwa safari binafsi. Hatukutumia fedha za Serikali kama inavyoelezwa,” alisema alipohojiwa na gazeti la Daily Nation.
Gavana huyo alisema alikwenda kuhudhuria kuapishwa kwa Dk Magufuli kwa mwaliko binafsi wa Rais hiyo wa Tano wa Tanzania.
Hata hivyo, alisema ziara yake Tanzania itasaidia kwa kiasi kikubwa kukuza ushirikiano katika Ukanda wa Ziwa Victoria.
“Ukweli ni kwamba Rais wa Tanzania aliwahi kutembelea Siaya na tulijadiliana masuala mbalimbali ikiwamo usafiri hasa katika Ziwa Victoria,” alisema Rasanga na kuongeza:
“Dk Magufuli anatokea Kanda ya Ziwa na mpango wake mkubwa ni kuimarisha bandari katika Ziwa Victoria na kuchaguliwa kwake kuwa Rais kutarahisisha zaidi utekelezaji wa mipango yake.
“Hakuna sababu ya kuingiza siasa katika safari hii. Tuko katika mipango mizuri tu ya kibiashara na Tanzania ambayo kwa sasa imeanza kupanuka.”
Mwenyekiti huyo wa PAC Kenya alisema safari hiyo ya Novemba 5, ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma.
Hata hivyo, Naibu Gavana, Wilson Ouma alipinga madai ya Gumbo akisema alikuwa na lengo la kumharibia bosi wake.
“Ukweli Gavana Rasanga alitumia fedha zake kwenda Tanzania na uzushi wowote unatakiwa ukomeshwe,” alisema Ouma alipozungumza na Nation.
Akisisitiza, Gumbo alisema ataendelea kupambana na matumizi mabaya ya fedha za umma unaofanywa na maofisa wa Serikali kwa kutumia vyeo vyao.

Magufuli kivutio nchi jirani
Madai hayo yameibuka wakati kasi ya utendaji wa Rais Magufuli tangu aapishwe ikizidi kuwa kivutio katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini Kenya na katika nchi nyingine jirani.
Kwa kipindi cha takriban siku 20 alizokaa ofisini, Rais Magufuli amechochea utendaji katika utumishi wa umma na kupunguza gharama akianza kwa kukata safari za nje kwa watumishi wa umma na sherehe za uhuru.
Kutokana na utendaji huo, watumiaji wa mtandao wa Twitter walianza kutumia kwa kasi kiunganishi cha “#Magufuli” huku kwa sehemu kubwa, raia wa Kenya wakiongoza mjadala hadi jana jioni.
Raia hao walionekana kuvutiwa na utendaji katika siku za awali za Dk Magufuli huku wakikosoa Serikali ya Rais Uhuru Kenyatta wakidai inazidi kukithiri kwa rushwa.
“Hello Tanzania, Kenya inataka imkodi #Magufuli kwa wikiendi moja,” aliandika kwa Kiingereza mtumiaji wa Twitter mwenye jina la Ezekiel Mogaka kutoka Kenya.
Lakini mtumiaji mwingine mwenye akaunti yenye utambulisho wa Chakkah Dan aliandika; “Rais Magufuli bila shaka (Hayati Baba wa Taifa), Julius Nyerere anatazama chini kutoka peponi akiwa anajivunia utendaji wako.
“Watanzania wanaamka kila siku asubuhi wakiona jambo fulani limetekelezwa na #Magufuli lakini Wakenya wanakwenda kulala na jambo ambalo #Kenyatta kaahidi,” aliandika The Golden Voice.
Kwa mujibu wa mtandao unaofutilia mijadala kwenye Twitter nchini Kenya, #GURUS daily trend, tangu jana asubuhi, kiunganishi “#Magufuli” kilikuwa ni miongoni mwa viunganishi vitano vilivyokuwa vinaongoza kwa kuchangiwa, vingine ni #WhatBalalaShouldDo, #YouDontKnowLifeStruggle, Welcome to Kenya, Turkey na #FagiaKenya.
Katika mijadala hiyo, Wakenya walikuwa wakijaribu kufananisha siku 19 za Rais Magufuli na miaka mitatu ya Rais Kenyatta na kutania kuwa iwapo Rais wa Tanzania angegombea mwaka 2017 nchini humo bila shaka wangemchagua.
Mijadala hiyo ‘haijabamba’ Kenya pekee, Burundi nao hawakuwa nyuma. Mwenye akaunti yenye jina Joseph Siboma aliandika: “Wakati ukomo wa madaraka ukiheshimika Tanzania, namkaribisha #Magufuli atawale kwa vipindi visivyoisha #Burundi.”
Mhadhiri wa Sayansi ya Siasa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Richard Mbunda, alisema nchi nyingi za Afrika zinahitaji kuwa na viongozi wanaojali masilahi ya wananchi lakini historia inaonyesha sehemu kubwa ya viongozi waliopo madarakani ni watawala wasiojali watu wao na hawapendi kuharibiwa nafasi zao.
“Sasa inapotokea kuna kiongozi kama Rais Magufuli anayepunguza matumizi ya Serikali bila shaka atakonga nyoyo za wengi. Mtindo wa uongozi wa Rais ni mpya na katika mambo yote aliyoyafanya hakuna wanaopinga zaidi ya kuwapo wachache wanaoonya mwenendo huo uendelee bila kupungua kasi,” alisema Mbunda.

Diamond atajwa kwenye orodha ya jarida la ‘New Afrika’ ya Waafrika 100 wenye ushawishi – 2015


Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya kila mwaka ya jarida la New Africa lenye makao yake jijini London, Uingereza ya Waafrika 100 wenye ushawishi zaidi mwaka 2015.
12144171_992371684172114_1315042514_n
Orodha hiyo hujumuisha Waafrika waliofanya mambo makubwa kwenye sekta nane zikiwemo Siasa (22); Public Office (4); Sanaa na Utamaduni (21); Biashara (21); Civil Society (11); Technology (9); Media (7); and Sports (5).
Nigeria na Afrika Kusini imetawala orodha hiyo kwa kuwa na watu 20 na 16. Kenya, Uganda na Cameroon zina watui sita kila moja.
Viongozi waliomo kwenye orodha hiyo ni pamoja na rais wa Nigeria Muhammadu Buhari na aliyemrithi Dr Goodluck Jonathan, Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia, Alpha Conde wa Guinea na Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone.
Pamoja na Diamond, mastaa wengine waliomo ni pamoja na Akon, Lupita Nyong’o, Trevor Noah na d Linda Ikeji.
CUmHlf3W4AAWiLQ
Kuhusu Diamond, jarida hilo limeandika:
Winner of the 2015 MTV Africa Music Award for Best Live Act, as well as Best African Live Act at the 2015 European Music Awards (EMAs), Diamond Platnumz is undoubtedly on of the continent’s biggest mussicians having made a tremendoud impact on the industry both local and global with hits such as ‘Number one’ which featured the talented Nigerian Davido and garnered him a huge following on social media this Tanzanian artist’s influence is most palpable amoungst the African youth and through the conversations they about him online. Tanzania did not just gain a new President in 2015 but ana international superstar making his country proud as well.

Vanessa Mdee hujiskiaje akimuona Jux ‘akimbusu’ msichana mwingine kwenye video? Hili ndio jibu lake!

Sunday, November 22, 2015

Catherine Kamau And Boyfriend Stun At Freddie’s Wedding (Photos)

Catherine Kamau beau

BREAKING: Waiguru Finally Steps Aside




wpid-anne-waiguru.jpg



Public pressure seems to have won against strong and powerful political forces that surround the Cabinet Secretary for Devolution and Planning, Ann Waiguru who has been under pressure to resign due to massive corruption allegations in her ministry and corporations associated to her ministry. She has finally bowed to the pressure and stepped aside to allow clear investigations and has admitted that there were very many loopholes in the dealings in her ministry.
The opposition, led by former prime minister Raila Odinga has been calling for Waiguru’s resignation and there was even a planned impeachment motion tabled in parliament.
The president will have to appoint a new acting CS until investigations are concluded. More details as they unroll.

 

Copyright @ 2013 HII NI LAANA.

Designed by Templateiy & CollegeTalks